Mradi wa Shamba la Miti Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere utakapitiwa na Mwenge wa Uhuru tarehe 30/07/2024. Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024- "Tunza Mazingir... Read More
![image description](http://www.musomarrh.go.tz/storage/app/uploads/public/66a/396/77a/thumb_320_357_210_0_0_crop.jpg)
Mradi wa Shamba la Miti Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere utakapitiwa na Mwenge wa Uhuru tarehe 30/07/2024. Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024- "Tunza Mazingir... Read More
Jarida Maalum la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Karibu uungane nasi kuweza kufahamu ziara mbalimbali zilizofanywa na viongozi wa Serikali katika Hospitali ... Read More
Wizara ya afya ikishirikiana na shirika lisilo la kiserikali Pathfinder wanaosimamia mradi wa M-MAMA wametoa mafunzo ya kuwajengea uwezo waratibu wa elimu kwa umma ngazi ya mkoa na halmashau... Read More
Chama cha Wanawake (Dorikasi) kutoka Kanisa la Waadventista Wasabato kata ya Kamunyonge-Manispaa ya Musoma siku ya leo tarehe Juni 27, 2024 wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbuku... Read More
Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-Mara wakiwa katika mafunzo ya matumizi ya mfumo wa taarifa za utekelezaji wa majukum ya watumishi (PEPMIS) kwa nyakat... Read More
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Mhe. Abdulrahman Omari Kinana, leo tarehe 17 Aprili 2024 amemtembelea na kumjulia hali Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama Cha ... Read More
Siku ya leo tarehe 17/04/2024 wazazi wenye watoto wanaoishi na changamoto ya ugonjwa wa Sickle Cell (SeliMundu) wamepata elimu ya chanzo na dalili za ugonjwa huo.Pia wazazi hao walielezwa... Read More
Siku ya leo tarehe 08/04/2024 yameendeshwa mafunzo ya namna ya kuzuia na kudhibiti maambukizi mahala pa kazi na kwenye jamii inayotuzunguka (IPC) kwa watumishi 22 wa kitengo cha usafi. ... Read More
Sasa unaweza kusoma online au ku download jarida la Mwezi la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimju Nyerere-Mara ili kuangalia habari zilizojiri, matukio, huduma zinazotolewa n... Read More
Mafunzo ya 5S KAIZEN yamehitimishwa siku ya leo ya Machi 28, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-Mara. Mafunzo yalitolewa kwa w... Read More